Huyu ni
                                                mwanangu
                                                 mpendwa
                                              ninayependezwa
                                                  naye...

[150.jpg]

MSIKIENI YEYE!

Katika Biblia kuna amri iliyotoka kwa
Mungu..."MISIKIENI YEYE!" Mungu alinena hayo
kuhusu mwanawe Yesu. Kama hujui
yatakayotokea kwako baada ya kufa. Basi soma
kikaratasi hiki.

(1) Na mtu akiyasikia maneno yangu, asiyashike,
    mimi simuhukumu; maana sikuja ili niuhukumu
    ulimwengu ila niokoe ulimwengu. Yeye
    anikataye mimi, asiyeyakubali maneno yangu,
    anaye amuhukumuye; neno hilo nililoli-nena
    ndilo litakalomhukumu siku ya mwisho.
    Yohana 12:47-48

MSIKIENI YEYE!

Ukimkataa Yesu, utahukumiwa na neno lake siku moja.

(2) "Kwa hiyo naliwaambieni ya kwamba
    mtakufa katika dhambi zenu, kwa sababu
    msiposadiki ya kuwa mimi ndiye, mtakufa
    katika dhambi zenu." Yohana 8:24

    "Kwasababu wote wamefanya dhambi, na
    kupungukiwa na utukufu wa Mungu."
    Warumi 3:23

MSIKIENI YEYE!

    Usipomwamini Yesu utakufa na dhambi zako.

(3) "Mimi ndimi njia na kweli, na uzima; mtu haji kwa
    Baba, ila kwa njia ya mimi." Yohana 14:6

MSIKIENI YEYE!

Yesu alisema huwezi kufika mbinguni ila ya yeye
hakuna njia nyingine.

(4) Amwaminiye yeye hahukumiwi; asiyeamini
    amekwisha hukumiwa; kwa sababu hakuliamini
    jina la mwana pekee wa Mungu.

MSIKIENI YEYE!

Kama hujaamini Bwana Yesu, wewe
umeshahukumiwa tayari katika ziwa la moto.

(5) "Kwa maana mwana wa Adamu alikuja kukiokoa
    kilicho-potea." Matayo 18:11

MSIKIENI YEYE!

Wala hakuna wokovu katika mwingine awaye yote,
kwa maana hapana jina njingine chini ya mbingu
walilopewa Wanadamu litupasalo sisi kuokolewa
kwalo." Matendo 4:12

(6) "Kwa maana, wakiwa hawaijui haki ya Mungu,
    na wakitaka kuithibitisha haki yao wenyewe,
    hawakujitia chini ya haki ya Mungu."
    Warumi 10:3

MSIKIENI YEYE!

Unahitaji haki ya Mungu - Bila hiyo utaenda kuzimu
sasa hivi. Pokea haki yake Mungu.

    "Tukiziungama dhambi zetu, yeye ni mwaminifu
    na wa haki hata atuondolee dhambi zetu."
    I Yohana 1:9

Sasa hivi, tafadhali muombe Yesu Kristo aje moyoni
mwako, akuokoe na akusamehe makosa yako.

    "Kwa sababu, ukimkiri Yesu kwa kinywa chako
    ya kuwa ni Bwana, na kuamini moyoni mwako
    ya kuwa Mungu alimfufua katika watu,
    utaokoka." Warumi 10:9

(7) "Mbingu na nchi zitapita; lakini maneno yangu
    hayatapita kamwe." Matayo 24:35

MSIKIENI YEYE!

    "Maneno yalionenwa na Yesu hudumu ya kweli
    leo, kesho, na hata milele. Na kama vile watu
    wanavyowekewa kufa mara moja, na baada
    ya kufa hukumu." Waebrania 9:27

Je, umefahamu ya kwamba mstari huu wa Biblia
umedhihi-rishwa kuwa kweli. Ni ukweli mtupu ya
kuwa siku moja utakufa...na ni kweli utahukumiwa na
maneno yalio-nenwa na Yesu!

q Ni chaguo langu kumkataa Yesu.

   "Bali mtu ye yote atakayenikana mbele ya watu
   nami nita-mkana mbele za Baba yangu aliye
   mbinguni." Matayo 10:33

MSIKIENI YEYE!

   "Asiyemwamini mwana hataona uzima, bali
   ghadhabu ya Mungu inamkalia." Yohana 3:36b

q Nimekubali kumkiri Yesu awe Mwokozi wangu.

   "Nami nawapa uzima wa milele; wala
   hawatapotea kamwe; wala hakuna mtu
   atakayewapokonya katika mkono wangu."
   Yohana 10:28

   "Yeye aliye naye mwana, anao huo uzima; asiye
   naye mwana wa Mungu hana huo uzima."
   Yohana 5:12

Tafadhali tutumie karatasihii utujulishe ya kwamba
baada ya kulisoma, umekata kauli ya kumpokea
Yesu awe Mwokozi wako.

Jina __________________________________
Anwani _______________________________
Mji _____________________ Umri _________

FELLOWSHIP TRACT LEAGUE
P.O. BOX 164 · LEBANON, OHIO 45036 · USA
ALL TRACTS FREE AS THE LORD PROVIDES
Tract No. 811 (Swahili)

[ Christian Helps Ministry (USA) ] [ Christian Home Bible Course ]